Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

Novemba Burudani

03/11/2022 13:07:07
Novemba ni mwezi wa burudani katika soka la kimataifa, wakati Kombe la Dunia linatarajiwa kutimua vumbi tarehe 20. Ligi Kuu ya Uingereza Serie A na MTN8 bado zinapigwa kama kawa.

Gunners na Blues kukutana kwenye dabi ya 206 ya London

02/11/2022 15:37:34
Arsenal watakuwa wageni ugani Stamford Bridge kukabiliana na Chelsea kwenye mechi ya ligi Jumapili Novemba 6 wakiwa na nia ya kuzidi kushikilia nafasi ya kwanza kwenye jedwali.  
 

Juventus wapania ushindi dhidi ya PSG licha ya kubanduliwa

31/10/2022 17:06:57
Juventus watamenyana na Paris Saint Germain kwenye mechi ya klabu bingwa ulaya kundi H Novemba 2.
 

Foxes watafuta mbinu za kumzuia Haaland

29/10/2022 16:14:24
Manchester City watakuwa na nafasi ya kuongoza jedwali la ligi japo kwa muda watakaposafiri kuikabili Leicester Oktoba 29, Jumamosi.
 

Verstappen atazamia rekodi mpya ya F1 Mexico City

29/10/2022 13:38:17
Max Verstappen wa Red Bull Racing anatarajia kupata ushindi wake wa 14 wa msimu ambao utakuwa ni rekodi Oktoba 30 Jumapili kwenye mbio za Mexican Grand Prix.
 

Dortmund na matumaini ya kuzima makali ya City

24/10/2022 15:54:54
Manchester City wanatarajia kuendeleza msururu wa matokeo mazuri ya mechi za UEFA msimu huu watakapoikabili Borussia Dortmund kwenye mechi ya makundi Oktoba 25 Jumanne Signal Iduna Park.