Latest Soccer News
Habari za hivi punde za Michezo
11/11/2023 09:39:20
Jumapili ya Novemba 05 mwaka 2023 mishale ya saa 11 jioni, Miamba ya Soka la Bongo (Simba SC na Young Africans) itakwenda kukutana kwa mara ya kwanza msimu huu 2023/24
11/11/2023 09:23:53
Manchester City watakabiliana na Chelsea kwenye mechi ya ligi ugani Stamford Bridge mnamo Jumapili Novemba 12.
03/11/2023 18:16:30
Newcastle wanapania kukabili matokeo mabaya dhidi ya Arsenal kwenye ligi watakapokutana ugani St James' Park mnamo Jumamosi Novemba 4.
30/10/2023 11:50:20
Rais wa Shirikisho Wallace Karia alisema anaeapongeza Sandalans kwenda kwa muda kupatikana na jezi kabla ya timu zetu hazijaanza mchakato wa mashindano.
27/10/2023 15:53:28
Simba wanakuwa wenyeji uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam wakiwakaribisha Ihefu FC ambao hivi karibuni...
27/10/2023 13:57:15
Manchester United watakuwa mwenyeji wa Manchester City ugani Old Trafford Oktoba 29 katika mechi ya ligi ambayo itakuwa ni dabi ya 191, mechi itakayo kuwa na athari kubwa katika msimu wa United.