Latest Soccer News
Habari za hivi punde za Michezo
26/10/2023 13:24:27
Na mechi ya marudiano Yanga walikuwa ugenini wakipata matokeo ya mabao 2 -0, mchezo uliopigwa uwanja wa Liti, Singida, Mei 4, mwaka huu katika mchezo wa mzunguko wa pili
23/10/2023 11:09:48
Manufaa kwa Simba SC Wazo na lengo la Simba sc linaenda kukamilika kwa kuwa klabu kubwa Afrika kwa kushiriki mashindano makubwa na vilabu vikubwa Afrika
23/10/2023 10:54:02
KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi amewabadilishia programu wachezaji wake kulingana na ubora wa Azam FC
20/10/2023 17:52:17
Arsenal itapambana na Chelsea katika mechi ya ligi ugani Stamford Bridge Jumamosi Oktoba 21. Mechi hii itakuwa yao ya nne dhidi ya timu zilizopo mjini London zinazoshiriki ligi kuu.
16/10/2023 11:09:13
YANGA imebakiza mabao 45 tu katika mechi 25 zilizobaki Ligi Kuu ili ifikie rekodi yake ya ufungaji ya msimu uliopita
13/10/2023 11:51:57
Shindano la gofu la The Shriners Children's Open 2023 linatarajiwa kung’oa nanga TPC, Summerlin huko Las Vegas, Nevada, Marekani kati ya tarehe 12 na 15 Oktoba.