Latest Soccer News
Habari za hivi punde za Michezo
02/12/2021 10:51:32
SSC Napoli itakuwa mwenyeji wa Atalanta BC uwanjani Estadio Diego Armando Maradona katika mechi ya ligi Disemba 4.
30/11/2021 10:16:36
Genoa CFC wataialika AC Milan katika mechi ya ligi kuu Italia ugani Stadio Comunale Luigi Ferraris Disemba mosi.
30/11/2021 09:48:33
Uwanja wa Old Trafford utakuwa mwenyeji wa mtanange mkali wa mechi ya ligi ya England Manchester United watakapowaalika Arsenal wikendi ya Disemba 2.
26/11/2021 14:10:17
Chelsea itapania kuzoa alama zote tatu itakapoialika Manchester United jumapili hii ugani Stamford Bridge katika mechi ya ligi.
26/11/2021 13:43:26
The Philadelphia 76ers watakabiliana na Minnesota Timberwolves katika mechi ya msimu ya NBA kwenye uwanja wa Wells Fargo Center uliopo Philadelphia. Mechi hiyo itang’oa nanga majira ya saa saba asubui ya jumapili Novemba 28 2021 saa za afrika ya kati.
23/11/2021 10:22:15
Michuano bora zaidi ya vilabu Ulaya inaendelea wakati timu 32 zikichuana kuwania nafasi ya kuelekea Urusi Mei 28. Kurejea kwa mashabiki uwanjani kumeongeza morali za timu nyingi zimewakaribisha kwa bashasha.