Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

Zote za kukimbia kwa mens 4x100m

05/08/2021 09:13:02
Mbio za wanaume za 4x100m kupokezana vijiti zinatarajiwa kuwa kivutio kikubwa kwenye michezo wa Olimpiki mjini Tokyo, lakini imekuwa vigumu kubashiri  nani wataibuka mabingwa.  

Matazamio ya Afrika kwenye Olimpiki wiki hii

04/08/2021 11:40:11
Mwanariadha wa Burkina Faso Fabrice Zango anatarajiwa kushiriki hatua ya mchujo   kuruka umbali mara tatu (Triple Jump) kwenye michezo ya Olimpiki inayoendelea nchini Japan, Agosti 3.