Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo
03/11/2021 13:49:34
Juventus FC watakuwa wenyeji wa ACF Fiorentina katika mchezo wa ligi kuu ya Italia mnamo tarehe 6 Novemba ugani Allianz Stadium.
02/11/2021 16:15:15
Baada ya kupata kichapo Old Trafford, Atalanta itakuwa na uchu wa kulipiza kisasi kwa Manchester United Novemba 2 katika mchezo wa mabingwa wa kundi F.
29/10/2021 09:28:12
Oktoba 30 Hellas Verona itawaalika Juventus uga wa nyumbani Stadio Marc’Antonio Bentegodi katika mchezo wa ligi kuu ya Serie A, Italia.
29/10/2021 09:11:35
Elche CF na Real Madrid watakabana koo kwenye mchuano wa ligi utakaogaragazwa katika uwanja wa nyumbani wa Elche, Estadio Manuel Martinez Valero Oktoba 30.
28/10/2021 10:08:03
Kutakuwa na kivumbi kikali cha mpira wa kikapu Jumamosi hii Moda Center Portland Oregon wakati Portland Trail Blazers wataialika Los Angeles Clippers katika mechi ya msimu wa kawaida majira ya saa kumi asubui Oktoba 30 2021.
28/10/2021 09:31:11
Manchester united wanapania kupata matokeo mazuri watakapokutana na Tottenham Hotspurs Jumamosi hii baada ya kupata kichapo kikali mikononi mwa Liverpool kwenye mchezo wa ligi kuu Engalnd msimu huu wa 2021/22.