Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo
16/09/2021 15:05:59
Juventus itapimana nguvu na wababe wenzao AC Milan mechi ya ligi kuu ya Italia Serie A Jumapili tarehe 19 Septemba katika uwanja wa Allianz.
15/09/2021 09:24:35
Tottenham Hotspur watawakaribisha Chelsea Jumapili hii katika mechi ya ligi kuu ya England 2021/22 inayotarajiwa kuwa derby ya London ya kusisimua sana.
14/09/2021 10:08:45
Atletico Madrid itakutana na Athletic Bilbao kwenye Ligi kuu ya Uhispania- La Liga, katika uwanja wa Estadio Wanda Metropolitano Septemba 18.
14/09/2021 09:20:40
Barcelona watatazamia kudhihirisha nia yao katika Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya watakapowakaribisha Bayern Munich kwenye mechi ya kundi E jumanne jioni.
10/09/2021 13:15:32
Mrusi Daniil Medvedev atakuwa anatafuta kufika fainali ya mashindano ya Tenis ya US Open kwa mara ya pili katika fani yake mwaka huu.
10/09/2021 11:52:23
Mwendeshaji wa timu ya Yamaha Fabian Quartararo atakuwa anatazamia kushinda kwa mara ya pili mfululizo atakaposhiriki mashindano ya mbio za pikipiki ya Aragon MotoGP.