Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

Wababe Juventus na Milan kumenyana Serie A

16/09/2021 15:05:59
Juventus itapimana nguvu na wababe wenzao AC Milan mechi ya ligi kuu ya Italia Serie A Jumapili tarehe 19 Septemba katika uwanja wa Allianz.

Spurs na Chelsea kuwasha Derby ya London

15/09/2021 09:24:35
Tottenham Hotspur watawakaribisha Chelsea Jumapili hii katika mechi ya ligi kuu ya England 2021/22 inayotarajiwa kuwa derby ya London ya kusisimua sana.
 

Atletico kukaribisha Bilbao

14/09/2021 10:08:45
Atletico Madrid itakutana na Athletic Bilbao kwenye Ligi kuu ya Uhispania- La Liga, katika uwanja wa Estadio Wanda Metropolitano Septemba 18.  

Mtanange mkubwa waja- Barcelona na Bayern

14/09/2021 09:20:40
Barcelona watatazamia kudhihirisha nia yao katika Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya watakapowakaribisha  Bayern Munich kwenye mechi ya kundi E jumanne jioni.

Medvedev atafuta fainali ya pili US Open

10/09/2021 13:15:32
Mrusi Daniil Medvedev atakuwa anatafuta kufika fainali ya mashindano ya Tenis ya US Open kwa mara ya pili katika fani yake mwaka huu.
 

Quartararo amulika ushindi mwingine katika Aragon MotoGP

10/09/2021 11:52:23
Mwendeshaji wa timu ya Yamaha Fabian Quartararo atakuwa anatazamia kushinda kwa mara ya pili mfululizo atakaposhiriki mashindano ya mbio za pikipiki ya Aragon MotoGP.