Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo
30/09/2021 10:49:11
Francesco Bagnaia atafuata hat-trick ya ushindi wakati Mashindano ya Dunia ya Moto21 ya Moto ya 2021 itafanya Raundi ya 15, Grand Prix ya Amerika, kwenye Mzunguko wa Amerika huko Austin, Texas jioni ya Jumapili 3 Oktoba.
29/09/2021 16:13:49
Torino FC itapimana nguvu na mahasimu wao wa mjini, Juventus FC katika ligi kuu ya Italia - Serie A kwenye uwanja wa Stadio Olimpico Grande Torino Octoba 02.
29/09/2021 16:03:14
Liverpool na mabingwa watetezi Manchester City watakutana tena katika mtanane mwingine wa ligi kuu ya England msimu huu wa 2021/22 katika uwanja wa Anfield siku ya Jumapili.
29/09/2021 15:52:26
Atletico Madrid itakutana na FC Barcelona kwenye Ligi kuu ya Uhispania- La Liga katika uwanja wa Estadio Wanda Metropolitano jumamopsi Octoba 02.
27/09/2021 16:11:02
Paris Saint Germain (PSG) itapambana na Manchester City mechi ya kundi A, Ligi ya klabu Bingwa Ulaya mnamo Septemba 28.
24/09/2021 12:19:06
Real Madrid watacheza dhdi ya Villarreal CF ligi kuu ya Uhispania- La Liga katika uwanja wa Estadio Santiago Bernabéu Septemba 25.