Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

Manchester City walenga kuongeza masaibu ya Arsenal

26/08/2021 15:44:44
Manchester City wanalenga kuwaongezea Arsenal dhiki ya mwanzo mbaya wa msimu timu hizo mbili zitakapokutana kwenye mechi ya ligi kuu ya England katika uwanja wa Etihad Jumamosi hii.

Juventus yaisubiri Empoli kwa uangalifu

25/08/2021 15:11:18
Juventus FC itacheza dhidi ya Empoli kwenye ligi kuu ya Italia- Serie A katika uwanja wa Allianz mnamo Agosti 28.

Macho yote kwa British MotoGP 2021

25/08/2021 07:39:14
Mashindano ya mbio za pikipiki ya British MotoGP 2021 ambayo pia yanajulikana kama Monster Energy British Grand Prix yatafanyika eneo la Silverstone, England mnamo tarehe 29 Agosti.

Atleti yalenga kudumisha mwanzo mzuri wa LaLiga

20/08/2021 13:20:10
Mabingwa watetezi Atletico Madrid wanalenga kuendeleza mwanzo wao mzuri katika msimu wa  2021/22 wa Laliga watakapowakaribisha Elche kwenye uwanja wa Wanda Metropolitano jumapili.  

Udinese, Juve tayari derby ya michirizi

20/08/2021 11:30:29
Timu za Udinese na Juventus zitafungua msimu wa ligi kuu ya Italia- Serie A zitakapokutana katika mtanange uitwao derby ya ‘michirizi nyeusi na nyeupe’ kwenye uwanja wa Dacia Arena mjini Udine Jumapili Agosti 22 jioni

Pacquiao atafuta ushindi wa nne mtawalia

19/08/2021 14:23:56
Bondia Manny Pacquiao atakuwa anafuata ushindi wa mara ya nne mtawalia atakapopigana na Yordenis Ugas pigano la ubingwa wa dunia wa WBA (Super) Welterweight katika ukumbi wa T-Mobile mjini Las Vegas, Marekani, Jumapili tarehe 22 Agosti 2021.