Latest Soccer News
Habari za hivi punde za Michezo

Ivory Coast na Misri kuchuana katika mechi kali

25/01/2022 16:27:27
Ivory Coast itachuana na Misri katika mtanange mkali wa raundi ya 16 wa kombe la mataifa bara Afrika mnamo Januari 26 2022.

Valencia wanuia matokeo dhidi ya Atletico

20/01/2022 14:36:13
Valencia wanapania kufikisha kikomo ubabe wa Atletico Madrid timu hizo zitakapokutana katika mechi ya ligi mnamo januari 22 ugani Wanda Metropolitano. 
 

Heat kumenyana vikali Lakers

20/01/2022 14:24:14
The Miami Heat na Los Angeles Lakers watakutana katika mechi ya kukata na shoka ya NBA ugani FTX Arena in Miami, Florida jumatatu asubui januari 24 2022. Mechi itaanza saa saba asubui majira ya afrika ya kati. 

Blues na Spurs kutibua vumbi debi ya London

18/01/2022 15:33:42
Chelsea watakuwa wenyeji wa Tottenham ugani Stamford Bridge januari 23 wakitazamia kuweka matumaini ya kushinda ligi hai.

American Express 2022 kung’oa nangas

18/01/2022 15:27:17
Mashindano ya mwaka huu ya American Express yatang’oa nanga kati ya tarehe 20 na 23 januari, PGA West Private Clubhouse & Golf Courses

Milan na Juventus kutoana jasho

18/01/2022 15:21:38
AC Milan na Juventus watachuana vikali katika mechi ya ligi januari 23 ugani Stadio Giuseppe Meazza.