Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo
26/06/2024 10:21:38
SAFARI HII Simba hawatanii, katika usajili ndiyo imeanza hivyo kwa kushusha mastaa watatu huku wawili kati yao...
25/06/2024 11:27:30
Amewatuliza wanasimba na kuwataka kuwaunga mkono viongozi kwa sasa wapo sokoni kwa ajili ya kufanya usajili
25/06/2024 10:29:47
MSHAMBULIAJI wa zamani wa Azam FC ambaye kwa sasa anatajwa kujiunga na Yanga msimu ujao, Prince Dube amesema
18/06/2024 09:11:36
Imeeleza kuwa Simba imetuma watu wake nchini humo kwenda kuzungumza na kumaliza dili la kumpa nyota huyo na kumfanya kuwa sehemu ya usajili wa Wekundu wa Msimbazi kwa msimu ujao wa mashindano.
14/06/2024 11:33:58
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba SC, Salim Abdallah 'Try Again' amejiuzulu nafasi hiyo na kumuomba...
10/06/2024 13:42:56
Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya uongozi wa Azam FC kimesema mazungumzo baina ya mchezaji huyo yanaendelea vizuri na muda wowote kuanzia sasa watamtangaza