Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

HUKU ISHU YA CHAMA IKIZIMWA KIMYA KIMYA...MBRAZILI ASHINDWA KUJIZUIA KUHUSU MASTAA WAPYA

21/07/2023 17:53:25
KOCHA mkuu wa Simba, Mbrazil, Robert Oliveira 'Robertinho' ameuambia uongozi wa timu huyo kuhakikisha anawapata

WAKATI YANGA WAKIKUBALI YAISHE KWA MAYELE...KIFAA KIPYA KITAKACHOMRITHI HIKI HAPA

21/07/2023 17:01:07
Ofisa habari wa Yanga, Ali Kamwe alisema wamekamilisha usajili wa winga huyo anbaye amecheza timu

STAA ALIYEPIGWA CHINI AZAM FC AIBUKIA SIMBA SC

19/07/2023 10:12:54
Tayari Simba SC imesajili wachezaji wapya wanne wa kimataifa katika dirisha hili kubwa, ambao ni kiungo mkabaji Fabrice Ngoma

2023 Wimbledon Championships - Holger Rune

12/07/2023 16:38:58
Mchezaji nambari 6 duniani katika mchezo wa tenisi Holger Rune atakabiliwa na ushindani mkubwa kutoka kwa mchezaji nambari 1 duniani Carlos Alcaraz watakapokutana kwenye mechi ya robo fainali ya shindano la Wimbledon.
 

SIMBA SC KUFIKIA HOTEL HII YA KIFAHARI KWA AJILI YA KAMBI NCHINI UTURUKI

07/07/2023 15:40:15
KWA Lugha rahisi unaweza kusema kambi ya Simba wanayokwenda kuiweka nchini Uturuki ni ya kifahari wakiwa wanajiandaa na msimu 2023/24 ambao wamepanga kufanya maajabu Ligi Kuu na michuano ya kimataifa.
 

F1 - 2023 British Grand Prix

07/07/2023 15:17:27
Mbio za 2023 za British Grand Prix zimepangiwa kufanyika katika mkondo wa Silverstone, Silverstone, England Julai 9.