Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

Reds kusaka ushindi wa kwanza katika mechi nne dhidi ya Chelsea.

20/01/2023 10:24:54
Liverpool watakuwa wenyeji wa Chelsea ugani Anfield katika mechi ya ligi mnamo Januari 21 siku ya Jumamosi.

Matsuyama atazamia kuandikisha historia shindano la Sony Open

11/01/2023 14:11:24
Bingwa mtetezi wa shindano la gofu la Sony Open in Hawaii Hideki Matsuyama anatarajiwa kushiriki shindano la mwaka huu 2023 kule Hawaii huku akitazamia kuwa mchezaji wa kwanza kushinda shindano hilo mara mbili mfululizo tangu Jimmy Walker mwaka 2014 na 2015.

Napoli na nia ya kuizima Juventus

11/01/2023 13:45:12
SSC Napoli watakuwa mwenyeji wa Juventus FC katika mechi ya ligi kuu Italia ugani Stadio Diego Armando Maradona Januari 13.

Sociedad kuikabili Bilbao inayoonekana kuimarika

11/01/2023 13:23:55
Real Sociedad itakabiliana na Athletic Bilbao kwenye mechi ya La Liga ugani Estadio de Anoeta Januari 14.
 

United waazimia ushindi dhidi ya City

11/01/2023 11:24:04
Manchester United na Manchester City watamenyana katika mechi ya ligi ugani Old Trafford Januari 14 Jumamosi, ikiwa ni dabi ya 189 baina ya timu hizo.

Atletico na Barcelona katika mtanange mkali wa La liga.

06/01/2023 17:59:07
Atletico Madrid na FC Barcelona watakabiliana katika mechi ya ligi kuu Uhispania mnamo Januari 8 ugani Estádio Cívitas Metropolitano.