Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo
08/05/2023 15:35:09
Wapinzani wa Young Africans katika Michuano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika Marumo Gallants wanatarajiwa kuwasili jijini Dar es salaam leo Jumatatu (Mei 08) tayari kwa mchezo wa Mkondo wa Kwanza wa Nusu Fainali.
05/05/2023 16:44:18
Baada ya ushindi mmoja katika mechi tano, Arsenal watakuwa wageni wa Newcastle United kwenye mchezo wa ligi mnamo Mei 7 Jumapili ugani St James' Park.
05/05/2023 16:23:04
BAADA ya kutinga Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kocha Mkuu wa Yanga SC Nasreddine Nabi, amesema kuwa sasa ameanza kuwapigia hesabu wapinzani wao Marumo Gallants.
26/04/2023 17:01:04
Atletico Madrid watakuwa wenyeji wa Real Mallorca kwenye mechi ya La Liga ugani Estádio Cívitas Metropolitano Aprili 26.
26/04/2023 16:45:56
Dereva wa Red Bull Racing, Max Verstappen anapania kumaliza katika nafasi ya jukwaani kwa mara ya nne mfululizo huku akifukuzia ushindi wa pili mfululizo kwenye mbio za langa langa za Azerbaijan Grand Prix Jumapili Aprili 30.
26/04/2023 16:31:30
Manchester City watakuwa mwenyeji wa Arsenal ugani Etihad Stadium katika mechi za ligi mnamo Jumatano Aprili 26.