Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo
02/12/2022 00:16:34
Katika azma ya kutetea taji la kombe la dunia, Ufaransa itakabiliana na Poland Jumapili Desemba 4 kwenye mechi ya hatua ya 16.
01/12/2022 14:16:21
Boston Celtics watamenyana na Miami Heat katika mechi ya ligi ya kikapu, National Basketball Association (NBA) mnamo Desemba 3.
01/12/2022 11:23:27
Shindano la 2022 Hero World Challenge la gofu litafanyika Albany, New Providence, The Bahamas kati ya tarehe 1 na 4 Desemba.
01/12/2022 10:32:51
Kuna uwezekano Cameroon itaaga kombe la dunia 2022 mapema huku Ghana ikipania kisasi dhidi ya Uruguay Ijumaa kwa yaliyotokea 2010.
24/11/2022 18:02:19
Baada ya kupata kichapo kutoka kwa Japan, Ujerumani ina kibarua cha ziada ilhali Uhispania itaelekea kwenye mchezo huo mkali siku ya Jumapili ikiwa na matumaini makubwa.
24/11/2022 17:47:47
The Orlando Magic wanatarajia ushindi dhidi the Philadelphia 76ers timu hizo zitakapokutana kwenye mechi ya ligi ya mpira wa kikapu National Basketball Association (NBA) katika ukumbi wa Amway Center Orlando, Florida Jumamosi 26 Novemba saa nane asubuhi majira ya Afrika ya kati.