Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo
19/05/2023 14:41:58
Manchester City watatawazwa mabingwa wa ligi ya Premier kwa mara ya tatu mfululizo iwapo wataibuka na ushindi dhidi ya Chelsea ugani Etihad Jumapili Mei 21.
16/05/2023 13:25:22
City ambao ni mabingwa wa ligi ya England hawajapoteza mechi ya UEFA msimu huu wakiwa nyumbani. Wameshinda mechi zote tano wakiwa nyumbani huku wakifanikiwa kufunga magoli 20 na kuruhusu magoli 2 tu.
12/05/2023 17:43:46
Manchester City watakuwa mgeni wa Everton ugani Goodison Park katika mechi ya ligi mnamo Mei 14 Jumapili ikiwa ni mwendelezo wa juhudi za kutetea taji hilo.
09/05/2023 11:56:35
Washindi hawa walishiriki katika promosheni za kusisimua kutoka Betway!
09/05/2023 10:41:12
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Kalbu ya Simba SC, Ahmed Ally amesema kuwa uongozi wa klabu hiyo na idara zote zitafanya tathmini kwa wachezaji wote, benchi la ufundi na watendaji wote wa timu baada ya kukosa taji hata moja msimu mzima.
09/05/2023 07:57:20
Manchester City watakuwa mgeni wa Real Madrid kwenye mechi ya klabu bingwa ulaya (UEFA) Mei 9 ugani Estadio Santiago Bernabeu.