Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo
14/12/2022 12:05:24
Los Angeles Lakers watakabiliana na Denver Nuggets katika mechi ya ligi ya kikapu ya in the National Basketball Association (NBA) mnamo Desemba 18.
13/12/2022 19:58:39
Morocco inatarajia kuandikisha rekodi mpya ya kombe la dunia watakapokutana na mabingwa watetezi Ufaransa Desemba 14 Jumatano kwenye mechi ya nusu fainali.
13/12/2022 17:47:39
Macho na masikio yote ya mashabiki wa soka yapo kwenye Kombe la Dunia, wakati wababe wa soka la kimataifa wakichuana kunyakua kombe hilo. Hii ni michuano mifupi zaidi ukiachana na ile ya 1978, bila shaka zitakuwa siku 28 za kusisimua na zenye ushindani.
09/12/2022 18:04:53
Morocco inalenga kuwa timu ya kwanza kutoka Afrika kufika hatua ya nusu fainali ya kombe la dunia watakapo kabiliana na Ureno ugani Al Thumama, Doha Desemba 10 Jumamosi.
07/12/2022 11:04:13
Shindano la gofu la mwaka 2022 la Alfred Dunhill Championship linatarajiwa kufanyika Malelane, Afrika Kusini kati ya tarehe 8 na 11 mwezi Desemba.
07/12/2022 10:43:07
Philadelphia 76ers itamenyana na Los Angeles Lakers katika mechi ya ligi ya National Basketball Association (NBA) mnamo Desemba 10.