Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo
01/06/2023 17:16:17
Villarreal CF na Atletico Madrid watamenyana vikali katika mechi ya ligi kuu Uhispania Juni 4 ugani Estadio de la Cerámica.
01/06/2023 17:03:15
SSC Napoli watakuwa wenyeji wa UC Sampdoria katika mechi ya ligi ugani Stadio Diego Armando Maradona mnamo Juni 4.
31/05/2023 13:12:18
Manchester City watamenyana na Manchester United katika mechi ya fainali ya kombe la FA mnamo Juni 3 Jumamosi ugani Wembley.
26/05/2023 13:47:21
Manchester United wanatazamia kuendeleza ubabe wao dhidi ya Fulham watakapokutana kwenye mechi ya ligi ya kumalizia msimu mnamo Jumapili Mei 28.
24/05/2023 15:26:16
KOCHA mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amefanikiwa kunasa faili ya USM Alger kwa kubaini ubora na madhaifu ya mpinzani wao huyo kuelekea mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika.
22/05/2023 16:40:10
Bodi ya Wakurugenzi ya Simba chini ya Mwenyekiti wake, Salim Abdallah (Try Again), imesema imekabidhi majukumu yote ya usukaji kikosi kipya kwa ajili ya msimu ujao kwa Kocha Mkuu, Robertinho Oliveira