Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo
21/11/2022 14:48:12
Argentina na Ufaransa ambayo ni mojawapo ya mataifa yanayopigiwa upatu kushinda shindano la kombe la dunia wataanza kampeni zao Novemba 22.
18/11/2022 17:55:16
Afrika inawakilishwa vyema katika Kombe la Dunia, pamoja na kukosekana kwa baadhi ya mataifa makubwa. Licha ya juhudi za kubwa zilizofanywa na timu za Kiafrika hapo awali, rekodi za bara la Afrika kwenye michuano hiyo bado si nzuri. Je, tutaona timu ya Afrika ikitinga Nusu Fainali?
18/11/2022 14:23:13
Max Verstappen amehapa kumsaidia dereva mwenza wa Red Bull Sergio Perez katika mbio za kukamilisha msimu za Abu Dhabi Grand Prix Jumapili Novemba 20.
16/11/2022 11:15:38
Portland Trail Blazers watakabana koo na Brooklyn Nets kwenye mechi ya ligi ya National Basketball Association (NBA) Novemba 18.
11/11/2022 18:20:28
Dereva wa Red Bull Racing Max Verstappen anatarajia kupata ushindi wake wa 15 msimu huu kwenye mbio za Brazilian Grand Prix Jumapili Novemba 13.
11/11/2022 18:07:44
Los Angeles Lakers na Sacramento Kings watakabiliana vikali kwenye mechi ya ligi ya mpira wa kikapu, National Basketball Association (NBA) Novemba 12.