Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

Gunners kukabana koo na Wolves

09/11/2022 11:41:08
Arsenal wanatazamia kuingia mapumziko ya kombe la dunia wakiongoza ligi huku wakifukuzia ushindi wa tatu mfululizo dhidi ya Wolves Jumamosi Novemba 12 ugani Molineux.
 

Madrid wahofia Cadiz

09/11/2022 11:32:15
Real Madrid watamenyana na Cadiz CF kwenye mechi ya ligi kuu ya Uhispania ugani Estadio Santiago Bernabéu Novemba 10.
 

Vallecano kukutana na Real kwenye dabi ya Madrid

04/11/2022 14:38:24
Rayo Vallecano watakutana na Real Madrid kwenye mchezo wa ligi kuu ya Uhispania ugani Estadio de Vallecas Novemba 7.
 

Bucks watarajia kuendeleza rekodi nzuri dhidi ya Thunders

04/11/2022 10:33:44
Milwaukee Bucks na Oklahoma City Thunders watakabana koo kwenye mechi ya NBA Novemba 6.
 

Bagnaia aotea taji la kwanza la MotoGP

04/11/2022 09:59:15
Mwendeshaji wa timu ya Ducati Lenovo Francesco Bagnaia anahitaji kumaliza katika nafasi ya 13 au juu kwenye mbio za Valencian Community Grand Prix Jumapili ya Novemba 6 ili kutawazwa bingwa wa dunia wa shindano la 2022.
 

Novemba Burudani

03/11/2022 13:07:07
Novemba ni mwezi wa burudani katika soka la kimataifa, wakati Kombe la Dunia linatarajiwa kutimua vumbi tarehe 20. Ligi Kuu ya Uingereza Serie A na MTN8 bado zinapigwa kama kawa.