Habari za hivi punde za Soka
                
                    Habari za hivi punde za Michezo
                
  
  
    
    07/01/2022 16:12:48
    Juventus watatarajia kupata ushindi wa tatu mfululizo dhidi ya Roma watakapokutana uwanjani Stadio Olimpico januari 9 katika mechi ya ligi. 
    
   
   
  
  
    
    07/01/2022 16:05:24
    Real Madrid watapania kurudi na ushindi baada ya kupoteza mechi yao ya pili ya msimu katika ligi watakapoialika Valencia ugani Santiago Bernabeu januari 8. 
    
   
   
  
  
    
    05/01/2022 13:26:14
    Philadelphia 76ers na San Antonio Spurs watamenyana vikali katika mechi ya NBA kwenye uwanja wa Wells Fargo Philadelphia, Pennsylvania jumamosi januari 8 2022. Mechi hiyo itaanza saa nane kamili alfajiri majira ya afrika ya kati. 
    
   
   
  
  
    
    05/01/2022 13:20:13
    Mchezaji namba moja wa golfu duniani Jon Rahm anapania kushinda taji la Tournament of Champions kwa mara ya kwanza kabisa. 
    
   
   
  
  
    
    04/01/2022 08:25:04
    Napoli watakuwa wageni wa Juventus ugani Allianz Stadium katika mechi ya ligi jioni ya Alhamisi januari 6 2022. Mechi itang’oa nanga saa nne kasorobo, majira ya afrika ya kati. 
    
   
   
  
  
    
    28/12/2021 16:31:38
    Chelsea na Liverpool watakabana koo katika mechi ya ligi mnamo jumapili januari 2 2022.