Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

INONGA NDIO BASI TENA SIMBA....MADAKTARI WAFUNGUKA UHALISIA WA JERAHA LAKE...

29/09/2023 17:06:36
BEKI wa Simba, Hennock Inonga hatokuwa sehemu ya mechi ya marudiano ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Power Dynamos ya Zambia ya kufuatia  kushonwa nyuzi 13 katika

EPL - Bournemouth v Arsenal

29/09/2023 16:58:44
Arsenal wanatarija kupata ushindi watakapokutana na Bournemouth katika mechi ya ligi ugani Vitality Jumamosi Septemba 30.
 

YANGA WATASHIRIKI AFRICAN LEAGUE MWAKANI

29/09/2023 16:55:08
Rais wa Shirikisho la Soka nchini (TFF), Wallace Karia amesema mwakani 2024 kupitia mashindano ya African Football League (Super League) Yanga itakuwa moja wapo ya timu zitakazoshiriki

HATIMA YA AFCON 2027 KUFANYIKA TANZANIA KUJULIKANA WIKI IJAYO

26/09/2023 11:33:07
Hatma ya maombi ya Tanzania, Kenya na Uganda kuandaa Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027) itajulikana Jumatano (Septemba 27) katika mkutano utakaofanyika jijini

EPL - Manchester City v Nottingham Forest

22/09/2023 16:16:32
Manchester City wanatarajia kushinda mchezo wao wa sita wa ligi mfululizo tangu kuanza kwa msimu huu mpya watakapoialika Nottingham Forest ugani Etihad Jumamosi Septemba 23.
 

PACHA YA BALEKE, KRANO NA ONANA YAMFANYA MBRAZILI SIMBA KUJA NA HILI JIPYA

15/09/2023 15:45:39
BAADA ya michezo mitatu ya kirafiki kocha Mkuu wa timu Simba, Roberto Oliveira 'Robertinho ameridhishwa na safu yake