Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo
29/03/2023 17:21:56
Manchester City inatarajia kupiga jeki azma yake ya kutwaa ubingwa wa ligi ya Premier watakapoalika Liverpool ugani Etihad Stadium Jumamosi Aprili mosi.
24/03/2023 13:14:03
Los Angeles Lakers itakabiliana na Oklahoma City Thunder kwenye mechi ya ligi ya mpira wa kikapu, National Basketball Association (NBA) mnamo Machi 25.
17/03/2023 09:08:59
Los Angeles Lakers watapambana na Dallas Mavericks katika mechi ya ligi ya mpira wa kikapu, National Basketball Association (NBA) mamno Machi 18.
17/03/2023 08:53:36
Chelsea watakuwa wenyeji wa Everton ugani Stamford Bridge Jumamosi Machi 18 katika mechi ya ligi huku wakifukuzia ushindi wa tatu mfululizo kwenye shindano hilo.
14/03/2023 15:26:28
Real Madrid wamekuwa na matokeo mseto katika mechi za hivi karibuni na Liverpool wanatariajia kuongeza machungu zaidi watakapokutana nao kwenye mechi ya mkondo wa pili ya roundi ya 16 ya UEFA ugani Bernabeu Jumatano Machi 15.
10/03/2023 15:07:20
Arsenal watakuwa wageni wa Fulham kwenye mechi ya ligi ugani Craven Cottage mnamo Jumapili Machi 12.