Habari za hivi punde za Soka
                
                    Habari za hivi punde za Michezo
                
  
  
    
    15/12/2021 13:41:39
    Brooklyn Nets watamenyana na Philadelphia 76ers katika mechi ya ligi ya NBA mnamo Disemba 17. 
 
    
   
   
  
  
    
    15/12/2021 13:21:13
    Tottenham Hotspurs na Liverpool watamenyana katika mechi kali ya ligi Jumapili jioni mjini London huku timu zote zikinuia kuendeleza msururru wa matokeo mazuri.
    
   
   
  
  
    
    14/12/2021 10:02:47
    Sevilla FC watakuwa wenyeji wa Atletico Madrid katika mechi ya La liga ugani Estadio Ramón Sánchez Pizjuán  mnamo Disemba 18.
 
    
   
   
  
  
    
    13/12/2021 17:00:56
    Leicester City watapania kushinda mechi ya ligi nyumbani dhidi ya Tottenham Hotspur kwa mara ya tatu ndani ya miaka saba ugani King Power Disemba 16. 
 
    
   
   
  
  
    
    09/12/2021 17:49:18
    Max Verstappen wa Red Bull Racing-Honda atapania kushinda taji la mbio za langalanga mkondo wa Abu Dhabi  mnamo Disemba 12. 
    
   
   
  
  
    
    09/12/2021 13:27:06
    Mbio kuwania taji la ufungaji bora katika ligi ya premier zinaendelea kupamba moto huku wachezaji wengi wakiwania tuzo hilo.