Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo
13/01/2022 15:16:52
Manchester city watakuwa mwenyeji wa Chelsea katika mechi ya ligi ugani Etihad kunako januari 15 huku wakipania kuendeleza ubabe wake kwenye ligi.
13/01/2022 14:31:14
Nigeria wanatarajia kushinda mchezo wao wa pili katika mashindano ya AFCON watakapoikabili Sudan ugani Roumde Adjia katika mechi ya kundi D januari 15.
13/01/2022 14:19:02
Juventus FC itachuana na Udinese Calcio katika mechi ya ligi ugani Allianz Stadium Januari 15.
07/01/2022 16:20:31
Nigeria watapambana vikali na Misri kundi D, katika uwanja wa Roumde Adjia, Garoua kwenye mashindano ya kombe la mataifa barani afrika mnamo Jumanne 11 2022. Mechi itaanza saa kumi na mbili majira ya afrika mashariki.
07/01/2022 16:12:48
Juventus watatarajia kupata ushindi wa tatu mfululizo dhidi ya Roma watakapokutana uwanjani Stadio Olimpico januari 9 katika mechi ya ligi.
07/01/2022 16:05:24
Real Madrid watapania kurudi na ushindi baada ya kupoteza mechi yao ya pili ya msimu katika ligi watakapoialika Valencia ugani Santiago Bernabeu januari 8.