Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

HIZI HAPA FAIDA ZA MICHUANO YA AFL KWA SIMBA FC

23/10/2023 11:09:48
Manufaa kwa Simba SC Wazo na lengo la Simba sc linaenda kukamilika kwa kuwa klabu kubwa Afrika kwa kushiriki mashindano makubwa na vilabu vikubwa Afrika

KUELEKEA MECHI NA AZAM FC...GAMONDI ALIANZISHA UPYA KWA MASTAA WA YANGA

23/10/2023 10:54:02
KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi amewabadilishia programu wachezaji wake kulingana na ubora wa Azam FC

EPL - Chelsea v Arsenal

20/10/2023 17:52:17
Arsenal itapambana na Chelsea katika mechi ya ligi ugani Stamford Bridge Jumamosi Oktoba 21. Mechi hii itakuwa yao ya nne dhidi ya timu zilizopo mjini London zinazoshiriki ligi kuu.
 

YANGA HII YA GAMONDI NI ZAIDI YA BALAA NA NUSU...

16/10/2023 11:09:13
YANGA imebakiza mabao 45 tu katika mechi 25 zilizobaki Ligi Kuu ili ifikie rekodi yake ya ufungaji ya msimu uliopita

PGA - 2023 Shriners Children's Open

13/10/2023 11:51:57
Shindano la gofu la The Shriners Children's Open 2023 linatarajiwa kung’oa nanga TPC, Summerlin huko Las Vegas, Nevada, Marekani kati ya tarehe 12 na 15 Oktoba.  
 

SIKU CHACHE BAADA YA MAKUNDI CAF KUTOKA...GAMONDI AITAKA AZAM FC KWANZA

11/10/2023 16:21:04
Gamondi amesema baada ya kuvuna alama tatu mbele ya Geita Gold FC sasa wanarejea uwanja wa mazoezi kufanyia kazi mapungufu yaliyojitokeza na kujiandaa kwa mechi ijayo dhidi ya Azam FC.