Habari za hivi punde za Soka
                
                    Habari za hivi punde za Michezo
                
  
  
    
    22/08/2023 17:56:32
    Simba iliichapa Power Dynamos ya Zambia mabao 2-0, kwenye Simba Day Agosti 6, mwaka huu, kisha ikatoka sare na Singida.
    
   
   
  
  
    
    22/08/2023 15:35:08
    Nyota huyo raia wa Afrika Kusini alitolewa uwanjani dakika ya sita ya mchezo huo baada ya kuchezewa rafu na James Akamiko na nafasi yake kuchukuliwa na Chrispin Ngushi.
    
   
   
  
  
    
    20/08/2023 16:50:31
    Ingia kwenye Ulimwengu wa kubashiri michezo uipendayo na Betway, ukifungua akaunti mpya leo. Anza safari kubashiri na Free Bet hadi TSh 10,000 ukiweka pesa kwa mara ya kwanza.
    
   
   
  
  
    
    18/08/2023 17:28:50
    Simba imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ngao ya Jamii baada ya kuibuka na ushindi kwa mikwaju ya penati 3-1 dhidi ya Yanga katika mchezo wa Fainali
    
   
   
  
  
    
    18/08/2023 17:11:01
    Manchester United watahitaji kuimarisha uchezaji wao iwapo kushinda mechi ya sita mfululizo dhidi ya Tottenham watakapokutana Jumamosi Agosti 19 Tottenham Hotspur Stadium kwenye mechi ya ligi.
 
    
   
   
  
  
    
    15/08/2023 16:37:20
    Mara ya kwanza kuifanya Simba Day, ilikuwa Agosti 8, mwaka 2009 viongozi na wanachama walikwenda Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na kutoa mashuka 100 katika wadi ya watoto.